Jengo la bweni la shule ya sekondari Tagamenda lililoanza kujengwa miaka mitano iliyopita kwa nguvu za wananchi amabao walijitolea tofari, mawe, mchanga, bati , nguvu pamoja na vifaa vingine. Umalizia wake umekwama na kupelekea kuendelea kuchaka bila kutumika, jengo hili endapo lingemalizika lingeweza kuwasaidia wanafunzi wa vidato vya mitihani na wale wanaoishi mbali na shule. |
No comments:
Post a Comment